Genesis 26:20-21
20Lakini wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, “Maji haya ni yetu!” Ndipo akakiita kile kisima Eseki, ▼▼ Eseki maana yake ni Ugomvi.
kwa sababu waligombana naye. 21Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitna. ▼▼ Sitna maana yake Upinzani.
Copyright information for
SwhKC